1Basi ikawa katika siku ambazo waamuzi+ walitekeleza haki, njaa+ ikatokea nchini, na mwanamume mmoja akatoka Bethlehemu+ katika Yuda, akakae akiwa mgeni katika nchi ya Moabu,+ yeye na mke wake na wanawe wawili.
25 Baada ya muda njaa kali ikatokea katika Samaria,+ na, tazama! walilizingira mpaka kichwa cha punda+ kikawa na thamani ya vipande 80 vya fedha, na sehemu ya nne ya kipimo cha kabi cha mavi+ ya njiwa ikawa na thamani ya vipande 5 vya fedha.
9 ‘Tukipatwa na msiba,+ upanga, hukumu mbaya, au tauni+ au njaa,+ acheni tusimame mbele ya nyumba hii+ na mbele zako (kwa maana jina lako+ limo katika nyumba hii), ili tukuombe msaada ili kutuondoa katika taabu yetu, nawe usikie na kuokoa.’+