Mwanzo 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+ Waamuzi 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda. Mika 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+
7 Basi palikuwa na kijana wa Bethlehemu+ katika Yuda wa familia ya Yuda, naye alikuwa Mlawi.+ Alikuwa anakaa hapo kwa muda.
2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+