Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Chukua Walawi mahali pa wazaliwa wote wa kwanza kati ya wana wa Israeli, na wanyama wa kufugwa wa Walawi mahali pa wanyama wao wa kufugwa; na Walawi watakuwa wangu.+ Mimi ni Yehova.

  • Yoshua 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Musa alikuwa ametoa urithi wa yale makabila mawili na wa ile nusu ya kabila ng’ambo ile nyingine ya Yordani;+ naye hakuwapa Walawi urithi katikati yao.+

  • Yoshua 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana Walawi hawana fungu lolote katikati yenu,+ kwa kuwa ukuhani wa Yehova ndio urithi wao;+ na Gadi na Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ wamechukua urithi wao ng’ambo ya Yordani upande wa mashariki, ambao Musa mtumishi wa Yehova amewapa.”+

  • Waamuzi 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha wana wa Dani wakajisimamishia ile sanamu ya kuchongwa;+ naye Yonathani+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Musa, yeye na wanawe wakawa makuhani kwa kabila la Wadani mpaka siku ile nchi ilipopelekwa uhamishoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki