Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+

  • Mambo ya Walawi 26:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Msijifanyie miungu isiyo na thamani,+ wala msijisimamishie sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, wala msiweke jiwe kuwa sanamu katika+ nchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Kumbukumbu la Torati 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 naye aende na kuabudu miungu mingine na kuinamia hiyo au jua au mwezi au jeshi lote la mbinguni,+ jambo ambalo sijaamuru,+

  • Kumbukumbu la Torati 27:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Amelaaniwa mtu ambaye anafanya sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya kuyeyushwa,+ kitu kinachochukiza kwa Yehova,+ kilichotengenezwa kwa mikono ya mfanyakazi wa mbao na chuma,+ na ambaye amekiweka mafichoni.’ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)+

  • Waamuzi 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi akamrudishia mama yake fedha hizo, kisha mama yake akachukua vipande mia mbili vya fedha akampa fundi wa fedha.+ Naye akatengeneza sanamu ya kuchongwa+ na sanamu ya kuyeyushwa;+ nayo ikawa katika nyumba ya Mika.

  • Waamuzi 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wakaingia katika nyumba ya Mika, wakachukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi na ile terafimu na ile sanamu ya kuyeyushwa.+ Kisha yule kuhani+ akawaambia: “Mnafanya nini?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki