18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+
5 Nao walijenga mahali pa juu pa Baali ili kuwateketeza wana wao motoni kama matoleo mazima ya kuteketezwa kwa Baali,+ jambo ambalo sikuliamuru wala kusema juu yake,+ na ambalo halikuingia moyoni mwangu.”’+