Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 57:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Fungu lako lilikuwa pamoja na mawe laini ya bonde la mto.+ Hayo—hayo yalikuwa kura yako.+ Zaidi ya hayo, uliyamwagia toleo la kinywaji,+ ulitoa zawadi. Je, nitajifariji kwa mambo hayo?+

  • Yeremia 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa kama mahali pa Tofethi,+ zitakuwa najisi, yaani, zile nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilifukizia moshi wa dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na kuimiminia miungu mingine toleo la kinywaji.’”+

  • Ezekieli 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nami nikawaleta katika nchi+ ambayo nilikuwa nimeuinua mkono wangu katika kiapo kwamba nitawapa wao.+ Walipoona kila kilima kilichoinuka+ na kila mti wenye matawi mengi, ndipo wakaanza kutoa dhabihu+ zao huko na kutolea huko matoleo yao yenye kuudhi, na kutolea huko harufu zao za kutuliza+ na kumimina huko matoleo yao ya kinywaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki