Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wana wanaokota kuni, na akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumfanyia ‘malkia wa mbingu’ keki za dhabihu;+ na miungu mingine inamiminiwa matoleo ya kinywaji+ kusudi wanitie uchungu.+

  • Yeremia 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa kama mahali pa Tofethi,+ zitakuwa najisi, yaani, zile nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilifukizia moshi wa dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na kuimiminia miungu mingine toleo la kinywaji.’”+

  • Yeremia 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini hakika tutafanya kila neno ambalo limetoka katika kinywa chetu,+ ili kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji,+ kama sisi wenyewe+ na mababu+ zetu, wafalme+ wetu na wakuu wetu tulivyofanya katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu, wakati tuliposhiba mkate na kuwa na hali njema, nasi hatukuona msiba wowote kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki