Yeremia 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa chafu kama mahali hapa, Tofethi,+ naam, nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilitolea dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na ambako waliimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji.’”+
13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa chafu kama mahali hapa, Tofethi,+ naam, nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilitolea dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na ambako waliimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji.’”+