Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 8:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Wakati huo,” asema Yehova, “mifupa ya wafalme wa Yuda, mifupa ya wakuu wake, mifupa ya makuhani, mifupa ya manabii, na mifupa ya wakaaji wa Yerusalemu itatolewa katika makaburi yao. 2 Itatandazwa juani na mbele ya mwezi na kwa jeshi lote la mbinguni ambalo wamelipenda na kulitumikia na kulifuata na kulitafuta na kuliinamia.+ Haitakusanywa, wala haitazikwa. Itakuwa kama mbolea juu ya ardhi.”+

  • Sefania 1:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 “Nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya watu wa Yuda

      Na dhidi ya wakaaji wote wa Yerusalemu,

      Nami nitafutilia mbali kutoka mahali hapa kila kitu kinachohusiana na* Baali,+

      Jina la makuhani wa miungu ya kigeni pamoja na makuhani wenyewe,+

       5 Na wale wanaoliinamia jeshi la mbinguni wakiwa juu ya paa,+

      Na wale wanaoinama chini na kuapa kwamba watakuwa washikamanifu kwa Yehova+

      Na wakati uleule wakiapa kwamba watakuwa washikamanifu kwa Malkamu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki