3 Alijenga upya mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akajenga madhabahu kwa ajili ya Mabaali na kutengeneza miti mitakatifu,* naye akaliinamia jeshi lote la mbinguni na kuliabudu.+
13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa chafu kama mahali hapa, Tofethi,+ naam, nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilitolea dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na ambako waliimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji.’”+