Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nanyi mnapoinua macho yenu kutazama mbinguni na kuona jua na mwezi na nyota—jeshi lote la mbinguni—msishawishiwe kuviinamia na kuviabudu.+ Yehova Mungu wenu amewapa watu wote duniani* vitu hivyo.

  • 2 Wafalme 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Waliendelea kuacha amri zote za Yehova Mungu wao, nao wakatengeneza sanamu za chuma* za ndama wawili+ na kutengeneza mti mtakatifu,*+ nao wakaliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kumwabudu Baali.+

  • 2 Wafalme 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba.

  • 2 Wafalme 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alijenga upya mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali na kutengeneza mti mtakatifu,*+ kama alivyofanya Ahabu mfalme wa Israeli.+ Naye akaliinamia jeshi lote la mbinguni na kuliabudu.+

  • Yeremia 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa chafu kama mahali hapa, Tofethi,+ naam, nyumba zote ambazo juu ya paa zake walilitolea dhabihu jeshi lote la mbinguni+ na ambako waliimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji.’”+

  • Ezekieli 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi akanileta katika ua wa ndani wa nyumba ya Yehova.+ Hapo kwenye mlango wa hekalu la Yehova, katikati ya ukumbi na madhabahu, kulikuwa na wanaume 25 hivi ambao migongo yao ilielekea hekalu la Yehova na nyuso zao zilitazama mashariki; nao walikuwa wakiliinamia jua kuelekea mashariki.+

  • Sefania 1:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 “Nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya watu wa Yuda

      Na dhidi ya wakaaji wote wa Yerusalemu,

      Nami nitafutilia mbali kutoka mahali hapa kila kitu kinachohusiana na* Baali,+

      Jina la makuhani wa miungu ya kigeni pamoja na makuhani wenyewe,+

       5 Na wale wanaoliinamia jeshi la mbinguni wakiwa juu ya paa,+

      Na wale wanaoinama chini na kuapa kwamba watakuwa washikamanifu kwa Yehova+

      Na wakati uleule wakiapa kwamba watakuwa washikamanifu kwa Malkamu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki