Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Waisraeli wakashiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori,+ na hasira ya Yehova ikawaka dhidi yao.

  • Waamuzi 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakaabudu* Mabaali.+

  • Waamuzi 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakamwacha Yehova na kuabudu Baali na sanamu za Ashtorethi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ahazi+ alikuwa na umri wa miaka 20 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 16 huko Yerusalemu. Hakutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova kama alivyotenda Daudi babu yake.+ 2 Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli,+ na hata alitengeneza sanamu za chuma*+ za Mabaali.

  • Yeremia 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Yehova wa majeshi, Aliyekupanda,+ ametangaza kwamba msiba utakujia wewe kwa sababu ya uovu uliotendwa na watu wa nyumba ya Israeli na wa nyumba ya Yuda, ambao wamenikasirisha kwa kumtolea dhabihu Baali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki