28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+
33 Ahabu pia alitengeneza mti mtakatifu.*+ Ahabu alifanya mambo mengi zaidi yaliyomkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.