Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao, na kuabudu Mabaali+ na miti mitakatifu.*+

  • Waamuzi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kuabudu Mabaali,+ sanamu za Ashtorethi, miungu ya Aramu,* miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu,+ miungu ya Waamoni,+ na miungu ya Wafilisti.+ Wakamwacha Yehova wala hawakuendelea kumtumikia.

  • 1 Wafalme 18:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mara tu Ahabu alipomwona Eliya akamwambia: “Kumbe ni wewe unayeiletea Israeli taabu kubwa!”*

      18 Eliya akasema: “Sijailetea Israeli taabu, lakini ni wewe na nyumba ya baba yako mliofanya hivyo kwa kuziacha amri za Yehova na kufuata Mabaali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki