Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata hivyo mwamuzi huyo alipokufa, walitenda tena mambo maovu zaidi kuliko baba zao kwa kuifuata miungu mingine, kuiabudu na kuiinamia.+ Hawakuacha mazoea yao na tabia yao ya ukaidi.

  • Waamuzi 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova.+

  • Waamuzi 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini Waisraeli wakatenda tena mambo maovu machoni pa Yehova,+ basi Yehova akawatia mikononi mwa Wamidiani kwa miaka saba.+

  • Nehemia 9:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Lakini mara tu walipopata utulivu, walitenda tena yaliyo maovu mbele zako,+ nawe ulikuwa ukiwaacha mikononi mwa maadui wao, ambao waliwakandamiza.*+ Kisha walirudi na kukuomba msaada,+ nawe uliwasikiliza ukiwa mbinguni na kuwaokoa tena na tena kwa sababu ya rehema zako nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki