Waamuzi 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakaanza tena kutenda maovu machoni pa Yehova.+ Waamuzi 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Mara tu baada ya Gideoni kufa, Waisraeli wakaanza tena kufanya ukahaba wa kiroho na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+
33 Mara tu baada ya Gideoni kufa, Waisraeli wakaanza tena kufanya ukahaba wa kiroho na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+