Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa au mfano wa* kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani au kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+

  • 1 Wafalme 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha watasema, ‘Ni kwa sababu walimwacha Yehova Mungu wao, aliyewatoa mababu zao kutoka nchini Misri, nao wakashikamana na miungu mingine, wakaiinamia na kuiabudu. Ndiyo sababu Yehova aliwaletea msiba huo wote.’”+

  • 1 Wafalme 16:30-33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ahabu mwana wa Omri alikuwa mwovu sana machoni pa Yehova kuliko wote waliomtangulia.+ 31 Na kana kwamba lilikuwa jambo dogo kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, hata alimwoa Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ akaanza kumwabudu Baali+ na kumwinamia. 32 Isitoshe, alisimamisha madhabahu kwa ajili ya Baali katika nyumba ya Baali+ aliyoijenga* kule Samaria. 33 Ahabu pia alitengeneza mti mtakatifu.*+ Ahabu alifanya mambo mengi zaidi yaliyomkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kuliko wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki