5 Walijenga mahali pa juu pa Baali ili kuwateketeza motoni wana wao kuwa dhabihu nzima za kuteketezwa kwa Baali,+ jambo ambalo sikuamuru wala kusema na ambalo hata halijawahi kamwe kuingia moyoni mwangu.”’*+
15 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Tazameni, ninaliletea jiji hili na miji yake yote msiba wote ambao nimetangaza dhidi yake, kwa sababu walikataa kwa ukaidi kuyatii* maneno yangu.’”+