Isaya 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akalilima na kuondoa mawe ndani yake. Akapanda mzabibu bora mwekundu,Akajenga mnara katikati yake,Naye akachimba shinikizo la divai ndani yake.+ Kisha akaendelea kutumaini kwamba litazaa zabibu,Lakini lilizaa zabibu za mwituni peke yake.+ Yeremia 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nilikupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu safi;Basi umebadilikaje na kuwa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni mbele zangu?’+
2 Akalilima na kuondoa mawe ndani yake. Akapanda mzabibu bora mwekundu,Akajenga mnara katikati yake,Naye akachimba shinikizo la divai ndani yake.+ Kisha akaendelea kutumaini kwamba litazaa zabibu,Lakini lilizaa zabibu za mwituni peke yake.+
21 Nilikupanda kama mzabibu bora mwekundu,+ wote ukiwa mbegu safi;Basi umebadilikaje na kuwa machipukizi yaliyoharibika ya mzabibu wa kigeni mbele zangu?’+