Hosea 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Waisraeli ni mzabibu ulioharibika* unaozaa matunda.+ Kadiri matunda yao yanavyoongezeka, ndivyo wanavyozidisha madhabahu zao;+Kadiri nchi yao inavyozaa vizuri, ndivyo fahari ya nguzo zao takatifu inavyozidi kuongezeka.+
10 “Waisraeli ni mzabibu ulioharibika* unaozaa matunda.+ Kadiri matunda yao yanavyoongezeka, ndivyo wanavyozidisha madhabahu zao;+Kadiri nchi yao inavyozaa vizuri, ndivyo fahari ya nguzo zao takatifu inavyozidi kuongezeka.+