Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao kwa kweli wataitandaza mbele ya jua na mbele ya mwezi na mbele ya jeshi lote la mbingu ambalo wamelipenda na ambalo wamelitumikia na ambalo wamelifuata+ na ambalo wamelitafuta na ambalo wameliinamia.+ Haitakusanywa, wala haitazikwa. Itakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.”+

  • Yeremia 32:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Wakaldayo wanaopiga vita juu ya jiji hili wataingia ndani na kuliwasha jiji hili na kuliteketeza kwa moto+ na nyumba ambazo juu ya paa zake wamemfukizia Baali moshi wa dhabihu na kuimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji kwa kusudi la kunitia uchungu.’+

  • Yeremia 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini hakika tutafanya kila neno ambalo limetoka katika kinywa chetu,+ ili kumfukizia ‘malkia wa mbingu’+ moshi wa dhabihu na kummiminia matoleo ya kinywaji,+ kama sisi wenyewe+ na mababu+ zetu, wafalme+ wetu na wakuu wetu tulivyofanya katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu, wakati tuliposhiba mkate na kuwa na hali njema, nasi hatukuona msiba wowote kamwe.+

  • Sefania 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na wale wanaoliinamia jeshi la mbinguni+ juu ya madari, na wale wanaoinama,+ wakifanya viapo rasmi kwa Yehova+ na kufanya viapo rasmi kupitia kwa Malkamu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki