Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 9:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na maiti ya Yezebeli itakuwa kama mbolea+ juu ya uso wa shamba katika sehemu ya shamba la Yezreeli, ili wasiseme: “Huyu ni Yezebeli.”’”+

  • Zaburi 83:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Waliangamizwa huko En-dori;+

      Wakawa mbolea kwa ajili ya udongo.+

  • Yeremia 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Sema, ‘Yehova asema hivi: “Maiti za wanadamu zitaanguka kama mbolea juu ya uso wa uwanja na kama mafungu ya nafaka iliyokatwa hivi karibuni nyuma ya mvunaji, bila yeyote wa kukusanya.”’”+

  • Yeremia 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Watakufa vifo vya magonjwa.+ Hawataombolezewa,+ wala hawatazikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi;+ nao watamalizwa kwa upanga na kwa njaa,+ na maiti zao kwa kweli zitakuwa chakula kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kwa wanyama wa duniani.’+

  • Yeremia 25:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki