Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Kwa hiyo Yehova amesema hivi kumhusu Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, ‘Hawataomboleza kwa ajili yake: “Aa! ndugu yangu! Na Aa! dada yangu!” Hawataomboleza kwa ajili yake: “Aa! Ee bwana! Na Aa! heshima yake!”+

  • Yeremia 25:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wale waliouawa na Yehova siku hiyo hakika watakuwa kutoka mwisho mmoja wa dunia mpaka mwisho wa pili wa dunia.+ Hawataombolezewa, wala kukusanywa wala kuzikwa.+ Watakuwa kama mbolea juu ya uso wa nchi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki