Yeremia 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Kwa hiyo Yehova anasema hivi kumhusu Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda,‘Hawatamwombolezea: “Aa! ndugu yangu! Aa! dada yangu!” Hawatamwombolezea: “Aa! Ewe bwana! Aa! mfalme!”
18 “Kwa hiyo Yehova anasema hivi kumhusu Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda,‘Hawatamwombolezea: “Aa! ndugu yangu! Aa! dada yangu!” Hawatamwombolezea: “Aa! Ewe bwana! Aa! mfalme!”