Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na watu wao waliouawa watatupwa nje; na harufu mbaya ya mizoga yao itapaa;+ na milima itayeyuka kwa sababu ya damu yao.+

  • Isaya 66:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana, kama moto, Yehova atabishana na wote wenye mwili, ndiyo, akiwa na upanga wake;+ na waliouawa wa Yehova hakika watakuwa wengi.+

  • Yeremia 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Waporaji wamekuja kwenye mapito yote yaliyokanyagwa sana. Kwa maana upanga wa Yehova unakula kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho ule mwingine wa nchi.+ Hakuna amani kwa yeyote mwenye mwili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki