4 Utaanguka juu ya milima ya Israeli,+ wewe na vikosi vyako vyote na vikundi vya watu vitakavyokuwa pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wenye kuwinda, na ndege wa kila namna ya bawa, na wanyama wa mwituni.” ’+
20 Na lile shinikizo la divai likakanyagiwa nje ya jiji,+ na damu ikatoka katika lile shinikizo la divai hata kufikia juu kwenye lijamu za farasi,+ kwa umbali wa stadia elfu moja mia sita.+