Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nitakuacha juu ya nchi. Nitakutupa juu ya uso wa shamba.+ Nami nitavifanya viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vikae juu yako, nami nitawashibisha wanyama-mwitu wa dunia nzima kutokana nawe.+

  • Ezekieli 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Unapaswa kuwaambia hivi, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Kama ninavyoishi, hakika wale walio katika mahali palipoharibiwa wataanguka kwa upanga;+ na yule aliye katika shamba, hakika nitamfanya awe chakula cha mnyama-mwitu;+ na wale walio katika mahali imara na katika mapango+ watakufa kwa tauni.

  • Ufunuo 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili mpate kula sehemu zenye nyama za wafalme na sehemu zenye nyama+ za viongozi wa kijeshi na sehemu zenye nyama za watu wenye nguvu+ na sehemu zenye nyama za farasi+ na za wale wanaoketi juu yao, na sehemu zenye nyama za wote, za watu huru na vilevile za watumwa na za wadogo na wakubwa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki