27 “Unapaswa kuwaambia, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Kwa hakika kama ninavyoishi, wale wanaoishi katika magofu watauawa kwa upanga; na wale walio uwanjani nitawafanya wawe chakula cha wanyama wa mwituni; na wale walio katika ngome na mapango watakufa kwa ugonjwa.+