Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 63:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Watatiwa katika nguvu za upanga;+

      Watakuwa fungu la mbweha.+

  • Zaburi 79:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+

      Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+

  • Ezekieli 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami nitakuacha nyikani, wewe na samaki wote wa mifereji yako ya Nile.+ Utaanguka juu ya uso wa nchi.+ Hutaokotwa wala kukusanywa pamoja. Nitakutoa uwe chakula kwa wanyama-mwitu wa dunia na kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+

  • Ezekieli 39:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Sema na ndege wa kila namna ya bawa na wanyama wote wa mwituni:+ “Kusanyikeni pamoja na mje. Jikusanyeni pamoja pande zote kwenye dhabihu yangu, ambayo ninatoa kwa ajili yenu, dhabihu kubwa juu ya milima ya Israeli.+ Nanyi hakika mtakula nyama na kunywa damu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki