Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+

  • Yeremia 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo uwatoe wana wao waone njaa,+ na kuwatoa wapatwe na nguvu za upanga;+ wake zao na wawe wanawake waliofiwa na watoto, na wajane.+ Wanaume wao na wauawe kwa tauni yenye kufisha, vijana wao na wapigwe na kuuawa kwa upanga vitani.+

  • Yeremia 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “‘Hakika kelele zitafika mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia, kwa maana Yehova ana ubishi na mataifa.+ Yeye binafsi atajiweka hukumuni na watu wote wenye mwili.+ Nao waovu atawatoa wauawe kwa upanga,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki