Ayubu 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ikiwa siku zake zimeamuliwa,+Hesabu ya miezi yake iko kwako;Umeweka amri kwa ajili yake ili asiweze kuvuka. Zaburi 37:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova mwenyewe atamcheka,+Kwa maana hakika yeye anaona kwamba siku yake itakuja.+ Zaburi 90:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+ Mhubiri 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+
5 Ikiwa siku zake zimeamuliwa,+Hesabu ya miezi yake iko kwako;Umeweka amri kwa ajili yake ili asiweze kuvuka.
10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+
13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+