Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ikiwa siku zake zimeamuliwa,+

      Hesabu ya miezi yake iko kwako;

      Umeweka amri kwa ajili yake ili asiweze kuvuka.

  • Zaburi 37:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova mwenyewe atamcheka,+

      Kwa maana hakika yeye anaona kwamba siku yake itakuja.+

  • Zaburi 90:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+

      Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+

      Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+

      Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+

  • Mhubiri 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki