1 Samweli 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+ Yeremia 50:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Waueni ng’ombe-dume zake wote wachanga.+ Na washuke kwenda machinjoni.+ Ole wao, kwa maana siku yao imefika, wakati wa kuwakazia fikira!+ Ezekieli 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Na wewe, Ee mwenye majeraha kiasi cha kufisha, mkuu+ mwovu wa Israeli,+ ambaye siku yake imekuja katika wakati wa kosa la mwisho,+
10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+
27 Waueni ng’ombe-dume zake wote wachanga.+ Na washuke kwenda machinjoni.+ Ole wao, kwa maana siku yao imefika, wakati wa kuwakazia fikira!+
25 “Na wewe, Ee mwenye majeraha kiasi cha kufisha, mkuu+ mwovu wa Israeli,+ ambaye siku yake imekuja katika wakati wa kosa la mwisho,+