Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+

  • Yeremia 50:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Waueni ng’ombe-dume zake wote wachanga.+ Na washuke kwenda machinjoni.+ Ole wao, kwa maana siku yao imefika, wakati wa kuwakazia fikira!+

  • Ezekieli 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Na wewe, Ee mwenye majeraha kiasi cha kufisha, mkuu+ mwovu wa Israeli,+ ambaye siku yake imekuja katika wakati wa kosa la mwisho,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki