Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.

  • Yeremia 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Na kama zile tini mbaya ambazo haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya,+ kwa kweli Yehova amesema hivi: “Ndivyo nitakavyomtoa Sedekia+ mfalme wa Yuda na wakuu wake na mabaki wa Yerusalemu wanaobaki katika nchi hii+ na wale wanaokaa katika nchi ya Misri+—

  • Yeremia 52:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na yote aliyokuwa amefanya Yehoyakimu.+

  • Ezekieli 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “ ‘Kwa hiyo, hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Kama ninavyoishi, hakika kiapo changu ambacho amekidharau+ na agano langu ambalo amelivunja—nitamletea juu ya kichwa chake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki