Kumbukumbu la Torati 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Usilitumie jina la Yehova Mungu wako katika njia ya ubatili,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kumwadhibu, yeyote ambaye analitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+ Yeremia 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata wakisema: “Kama anavyoishi Yehova!” watakuwa wanaapa kwa uwongo mtupu.+
11 “‘Usilitumie jina la Yehova Mungu wako katika njia ya ubatili,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kumwadhibu, yeyote ambaye analitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+