Kutoka 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Usilitumie jina la Yehova Mungu wako kwa njia isiyofaa,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kuadhibiwa yule anayelitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+ Kutoka 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+ Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova.
7 “Usilitumie jina la Yehova Mungu wako kwa njia isiyofaa,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kuadhibiwa yule anayelitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+