Ezekieli 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Kwa hakika kama ninavyoishi, nitamletea juu ya kichwa chake madhara ya kudharau kiapo changu+ na kuvunja agano langu. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:19 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
19 “‘Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Kwa hakika kama ninavyoishi, nitamletea juu ya kichwa chake madhara ya kudharau kiapo changu+ na kuvunja agano langu.