Ezekieli 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Kwa hiyo, hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Kama ninavyoishi, hakika kiapo changu ambacho amekidharau+ na agano langu ambalo amelivunja—nitamletea juu ya kichwa chake. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:19 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 17
19 “ ‘Kwa hiyo, hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Kama ninavyoishi, hakika kiapo changu ambacho amekidharau+ na agano langu ambalo amelivunja—nitamletea juu ya kichwa chake.