2 Wafalme 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote aliyokuwa amefanya Yehoyakimu.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza+ kwa ajili ya nabii+ Yeremia+ kwa agizo la Yehova. 2 Mambo ya Nyakati 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.
19 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote aliyokuwa amefanya Yehoyakimu.+
12 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza+ kwa ajili ya nabii+ Yeremia+ kwa agizo la Yehova.
13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.