Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote aliyokuwa amefanya Yehoyakimu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza+ kwa ajili ya nabii+ Yeremia+ kwa agizo la Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akamwasi hata Mfalme Nebukadneza,+ aliyekuwa amemwapisha kwa Mungu;+ naye akaendelea kuifanya shingo yake kuwa ngumu+ na kuufanya moyo wake kuwa mgumu+ ili asirudi kwa Yehova Mungu wa Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki