Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova, kulingana na yote ambayo mababu zake walifanya.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya+ machoni pa Yehova Mungu wake. Hakujinyenyekeza+ kwa ajili ya nabii+ Yeremia+ kwa agizo la Yehova.

  • Yeremia 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Na kama zile tini mbaya ambazo haziwezi kuliwa kwa sababu ya ubaya,+ kwa kweli Yehova amesema hivi: “Ndivyo nitakavyomtoa Sedekia+ mfalme wa Yuda na wakuu wake na mabaki wa Yerusalemu wanaobaki katika nchi hii+ na wale wanaokaa katika nchi ya Misri+—

  • Yeremia 37:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na yeye na watumishi wake na watu wa nchi hawakuyasikiliza maneno ya Yehova+ ambayo alisema kupitia Yeremia nabii.+

  • Yeremia 38:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo Mfalme Sedekia akasema: “Tazama! Yuko mikononi mwenu. Kwa maana hakuna jambo lolote ambalo mfalme anaweza kuwazuia ninyi.”+

  • Ezekieli 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Na wewe, Ee mwenye majeraha kiasi cha kufisha, mkuu+ mwovu wa Israeli,+ ambaye siku yake imekuja katika wakati wa kosa la mwisho,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki