25 Na katika majiji yote, majiji ya Yuda, akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya kuifukizia miungu mingine moshi wa uvumba,+ hivi kwamba akamtia uchungu+ Yehova Mungu wa mababu zake.
4 Naye akajenga madhabahu+ katika nyumba ya Yehova, ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Jina langu litakuwa katika Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.”+