Yeremia 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na Mfalme Yehoyakimu+ na wanaume wake wote wenye nguvu na wakuu wote wakayasikia maneno yake, na mfalme akaanza kutafuta kumuua.+ Uriya aliposikia habari hizo, akaogopa+ mara moja, akakimbia, akaingia Misri. Yeremia 36:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao hawakuingiwa na hofu yoyote;+ na mfalme wala watumishi wake wote, waliokuwa wakisikiliza maneno hayo yote, hawakurarua mavazi yao.+
21 Na Mfalme Yehoyakimu+ na wanaume wake wote wenye nguvu na wakuu wote wakayasikia maneno yake, na mfalme akaanza kutafuta kumuua.+ Uriya aliposikia habari hizo, akaogopa+ mara moja, akakimbia, akaingia Misri.
24 Nao hawakuingiwa na hofu yoyote;+ na mfalme wala watumishi wake wote, waliokuwa wakisikiliza maneno hayo yote, hawakurarua mavazi yao.+