1 Wafalme 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaogopa. Basi akaondoka, akaanza kwenda kwa ajili ya nafsi yake,+ akafika Beer-sheba,+ jiji la Yuda.+ Kisha akamwacha mtumishi wake huko. Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+ Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
3 Naye akaogopa. Basi akaondoka, akaanza kwenda kwa ajili ya nafsi yake,+ akafika Beer-sheba,+ jiji la Yuda.+ Kisha akamwacha mtumishi wake huko.
28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+