Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 38:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kisha Mfalme Sedekia akamwambia Yeremia: “Ninawaogopa Wayahudi ambao wamekimbia kwenda kwa Wakaldayo,+ wasije wakanitia katika mikono yao nao wakanitendea vibaya.”+

  • Mathayo 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+

  • Mathayo 26:75
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 75 Naye Petro akakumbuka maneno ambayo Yesu alisema, yaani: “Kabla ya jogoo kuwika, utanikana mara tatu.”+ Naye akaenda nje akalia kwa uchungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki