2 Wafalme 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli. 2 Wafalme 23:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naye akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote ambayo mababu zake walifanya.+
2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.
32 Naye akaanza kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kulingana na yote ambayo mababu zake walifanya.+