2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.
21 Naye akaendelea kutembea katika njia yote ambayo baba yake alitembea,+ naye akaendelea kuzitumikia sanamu za mavi+ ambazo baba yake alitumikia na kuziinamia.
11 Mpendwa, uwe mwigaji, si wa yaliyo mabaya, bali wa yaliyo mema.+ Yeye ambaye hutenda mema anatokana na Mungu.+ Yeye ambaye hutenda mabaya hajamwona Mungu.+