Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hata wakuu wote wa makuhani+ na watu wenyewe wakatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa kiasi kikubwa, kulingana na machukizo+ yote ya mataifa, hivi kwamba wakaitia unajisi nyumba ya Yehova aliyokuwa ameitakasa katika Yerusalemu.+

  • Ezekieli 16:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 “ ‘Naye Samaria,+ hajatenda dhambi hata kufikia nusu ya dhambi zako, lakini wewe uliendelea kuyafanya machukizo yako yawe mengi kuliko walivyotenda, hivi kwamba ukawafanya dada zako waonekane kuwa waadilifu kwa sababu ya machukizo yako yote uliyoyaendeleza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki