Mambo ya Walawi 26:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+ Kumbukumbu la Torati 29:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;) 2 Wafalme 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakaendelea kutumikia sanamu za mavi,+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye jambo hili”;+ Yeremia 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hizo ni ubatili, kazi ya mzaha.+ Zitaangamia siku zitakapokaziwa fikira.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+
17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;)
12 Nao wakaendelea kutumikia sanamu za mavi,+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye jambo hili”;+
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+