Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi mlikuwa mkiona vitu vyao vyenye kuchukiza na sanamu zao za mavi,+ miti na mawe, fedha na dhahabu, zilizokuwa ndani yake;)

  • 2 Wafalme 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wakaendelea kutumikia sanamu za mavi,+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye jambo hili”;+

  • Yeremia 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hizo ni ubatili, kazi ya mzaha.+ Zitaangamia siku zitakapokaziwa fikira.+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki