21Neno+ lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, wakati Mfalme Sedekia+ alipotuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kusema:
2 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Nenda, umwambie Sedekia mfalme wa Yuda,+ ndiyo, umwambie hivi: “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili mkononi mwa mfalme wa Babiloni,+ naye ataliteketeza kwa moto.+