Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sedekia+ alikuwa na umri wa miaka 21 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna.

  • 1 Mambo ya Nyakati 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, Yehoyakimu+ wa pili, Sedekia+ wa tatu, Shalumu wa nne.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mwanzoni+ mwa mwaka Mfalme Nebukadneza akatuma watu,+ akamleta Babiloni+ pamoja na vyombo vyenye kutamanika vya nyumba ya Yehova.+ Tena akamfanya Sedekia+ ndugu ya baba yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki