Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+ 1 Samweli 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+ 1 Samweli 25:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya hapo karibu siku kumi zikapita, ndipo Yehova akampiga+ Nabali, naye akafa. Zaburi 94:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 94 Ee Mungu wa matendo ya kisasi, Yehova,+Ee Mungu wa matendo ya kisasi, uangaze!+ Zaburi 94:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+ Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+ Yuda 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+
35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+
12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+
23 Naye atayageuza madhara yao yarudi juu yao+Naye atawanyamazisha kwa msiba wao wenyewe.+ Yehova Mungu wetu atawanyamazisha.+
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+
9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+